Wq/sw/Wangari Maathai
Appearance
Wangari Muta Maathai (1 Aprili 1940 - 25 Septemba 2011) alikuwa mwanaharakati wa mazingira na kijamii kutoka Kenya ambaye alitunukiwa Tuzo ya Amani ya Nobel mnamo mwaka 2004.
Nukuu
[edit | edit source]- "Lazima tupinga dhana kwamba kuna njia moja tu ya kuwa mwanamke, njia moja ya kuwa Mwafrika, na njia moja ya kuwa mwanadamu."
- "Nadhani kile kamati ya Nobel inafanya ni kwenda zaidi ya vita na kuangalia kile ambacho binadamu anaweza kufanya ili kuzuia vita. Usimamizi endelevu wa maliasili zetu utakuza amani."
- Mahojiono (tarehe 10 Oktoba 2004)