Jump to content

Wq/sw/Wangari Maathai

From Wikimedia Incubator
< Wq | sw
Wq > sw > Wangari Maathai

Wangari Muta Maathai (1 Aprili 1940 - 25 Septemba 2011) alikuwa mwanaharakati wa mazingira na kijamii kutoka Kenya ambaye alitunukiwa Tuzo ya Amani ya Nobel mnamo mwaka 2004.

Nukuu

[edit | edit source]
  • "Lazima tupinga dhana kwamba kuna njia moja tu ya kuwa mwanamke, njia moja ya kuwa Mwafrika, na njia moja ya kuwa mwanadamu."
  • "Nadhani kile kamati ya Nobel inafanya ni kwenda zaidi ya vita na kuangalia kile ambacho binadamu anaweza kufanya ili kuzuia vita. Usimamizi endelevu wa maliasili zetu utakuza amani."

Viungo vya nje

[edit | edit source]