Wq/sw/Nana Klutse

From Wikimedia Incubator
< Wq‎ | sw
Wq > sw > Nana Klutse


Nana Ama Browne Klutse (amezaliwa 23 Mei 1981) ni mhadhiri wa Ghanian na Mtaalamu wa hali ya hewa.[edit | edit source]

NUKUU[edit | edit source]

  • Nana Ama Browne Klutse alizaliwa tarehe 23 Mei 1981 huko Nyanfeku Ekroful. Alipata elimu yake ya msingi katika Shule ya Msingi ya Anomabo Methodist na JHS.
  • Aliendelea na shule ya Sekondari ya Wasichana ya Mfantsiman na baadaye akaenda Chuo Kikuu cha Cape Coast nchini Ghana kusoma BSc Fizikia. Alisomea PhD Climatology yake katika Chuo Kikuu cha Cape Town nchini Afrika Kusini.
  • Pia anawahimiza wasichana nchini Ghana kuzingatia taaluma ya sayansi na kuunga mkono uboreshaji wa elimu ya sayansi nchini humo.