Wq/sw/Joanna Haigh
Joanna Dorothy Haigh (amezaliwa 7 Mei 1954)[edit | edit source]
- Ni mwanafizikia na msomi wa Uingereza.
- Kabla ya kustaafu mnamo 2019 alikuwa Profesa wa Fizikia ya Anga katika Chuo cha Imperial London, na mkurugenzi mwenza wa Taasisi ya Grantham - Mabadiliko ya Tabianchi na Mazingira.
- Alihudumu kama mkuu wa idara ya fizikia katika Chuo cha Imperial London.
- Yeye ni Mwanachama wa Jumuiya ya Kifalme (FRS), na aliwahi kuwa rais wa Jumuiya ya Kifalme ya Hali ya Hewa.