Wq/sw/Jakaya Kikwete
Jakaya Mrisho Kikwete alikuwa rais wa nne wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania tangu tarehe 21 Desemba 2005 hadi tarehe 5 Novemba 2015.
Nukuu[edit | edit source]
- Watu wanaojaribu kutafuta madaraka kwa kutoa rushwa, hawafai na wanastahili kuchukuliwa hatua kali