Wq/sw/Frantz Fanon

From Wikimedia Incubator
< Wq‎ | sw
Wq > sw > Frantz Fanon
Frantz Fanon (1959)

Frantz Fanon (20 Julai 1925 – 6 Desemba 1961) alikuwa mwandishi wa Kifaransa aliyezaliwa kwenye kisiwa cha Martinique.

Nukuu=[edit | edit source]

  • Kila kizazi lazima kigundue dhamira yake, kiitimize au kiisaliti, kwa uwazi.

Maandishi yake yalilenga hasa kukosoa ukoloni.