Wq/sw/Foluke Adeboye

From Wikimedia Incubator
< Wq‎ | sw
Wq > sw > Foluke Adeboye
Folu Adeboye

Foluke Adeboye (alizaliwa Julai 13, 1948) anajulikana pia kama Mummy G.O. na ni mchungaji, mwinjilisti, mzungumzaji wa konferensi, mwandishi na mke wa Enoch Adeboye mwangalizi mkuu wa kanisa la Kikristo la ukombozi wa Mungu.

Nukuu[edit | edit source]

  • Ndugu, huu ndio wakati ambao mtu yeyote atahitaji neema zaidi kuliko hapo awali
    • [1]Foluke Adeboye akizungumza katika Kongamano la 5 la kila mwaka la Wanawake wa Ushindi Usharika wa Kimataifa, Huduma za Upanga wa Roho huko Ibadan.
  • Usioe msichana ambaye ni mvivu! Usioe msichana ambaye hawezi kupika, anahitaji kujua jinsi ya kufanya kazi za nyumbani na kupika kwa sababu huwezi kumudu kula nje kila wakati.
    • [2] Foluke Adeboye akizungumzia kuhusu Ndoa.
  • Nenda kwa mchungaji wako kwanza kushauriana kuhusu ndoa kabla ya wazazi wako
    • Mchungaji foluke anawashauri vijana [3].

Viungo Vya Nje[edit | edit source]