Jump to content

Wq/sw/Cristiano Ronaldo

From Wikimedia Incubator
< Wq‎ | sw
Wq > sw > Cristiano Ronaldo
Ronaldo katika kombe la dunia la mwaka 2018 nchini Ureno
Ronaldo katika kombe la dunia la mwaka 2018 nchini Ureno

Cristiano Ronaldo dos Santos Aveiro, alizaliwa kwenye kisiwa cha Madeira, Ureno, 5 Februari 1985) ni mchezaji soka wa Ureno. Nafasi yake ni mshambuliaji; kwa sasa anacheza nchini Saudi Arabia katika klabu ya Al-Nassr na timu ya taifa lake.

Nukuu[edit | edit source]

  • Shati namba 7 ni heshima na wajibu. Natumaini inaniletea bahati nyingi.
  • Sijawahi kujaribu kuficha ukweli kwamba nia yangu ni kuwa bora zaidi
  • Labda wananichukia kwa sababu mimi ni mzuri sana!
  • Sivuti sigara wala sinywi pombe, na mimi si mtumiaji wa pesa nyingi, ninaishi sehemu ya mashambani ya Cheshire na majirani zangu wa karibu ni chindi, ndege na ng'ombe.
  • Tulishindwa kwa sababu hatukushinda.
  • Baadhi ya mashabiki wanaendelea kunizomea na kunipigia miluzi kwa sababu nina muonekano mzuri, tajiri na mchezaji mzuri. Wananionea wivu.