Wq/sw/Ayaan Hirsi Ali

From Wikimedia Incubator
< Wq‎ | sw
Wq > sw > Ayaan Hirsi Ali

Ayaan Hirsi Ali (amezaliwa Ayaan Hirsi Magan mnamo Novemba 13, 1969) ni mzaliwa wa Somalia. Ayan ni mwanasiasa na mpigania haki za wanawake. Alikuwa mbunge wa chama cha kiliberali cha Uholanzi cha People's Party for Demovracy kati ya 2003 na 2006. Kwa sasa anafanya kazi katika taasisi ya kihafidhina iitwayo American Enterprise Institute.

Nukuu[edit | edit source]

  • Kuna tofauti kubwa kati ya kuwa mvumilivu na kuvumilia kutovumilia.

Miaka ya 2000[edit | edit source]

  • Pamoja na watu wenye nia moja mtu hawezi kujadiliana. Kwa watu wenye nia moja mtu anaweza tu kushiriki katika ibada ya kanisa, na, kama inavyojulikana kote, sipendi ibada za kanisa.