Wq/sw/Aurore Mimosa Munyangaju

From Wikimedia Incubator
< Wq‎ | sw
Wq > sw > Aurore Mimosa Munyangaju

Aurore Mimosa Munyangaju (alizaliwa Aurore Mimosa), ni mfanyabiashara na mwanasiasa kutoka Rwanda ambaye anahudumu kama Waziri wa Michezo tangu tarehe 5 Novemba 2019.

NUKUU[edit | edit source]

  • Michezo inachangamoto kukosekana kwa usawa katika jinsia, rangi, na ulemavu na ni njia ya kuelimisha dhidi ya tabia zisizo za kijamii na kuunganisha tena vikundi vilivyotengwa [1] [2]